Damian Kyaruziimr.sttafp QKk q J89A
Damian Kyaruzi (amezaliwa 22 Aprili 1940) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.
Aliwekwa wakfu na Askofu Mkuu Mario Epifanio Abdallah Mgulunde mwaka 1997.
Tangu mwaka huo, alikuwa askofu wa Jimbo la Sumbawanga hadi alipostaafu mwaka 2018.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Ukurasa wa Askofu Kyaruzi katika Catholic Hierarchy
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Damian Kyaruzi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |